Changamoto za kulea mtoto mwenye ugonjwa wa Tawahudi
Published on: January 20, 2018 08:29 (EAT)
Mmoja au wawili kati ya kila watoto 1000 wa kiume wanaozaliwa kila mwaka hukumbwa na ugonjwa wa tawahudi unaojulikana kwa kiingereza kama autism. Ugonjwa huo unaathiri uwezo wa kukua na hata mawasiliano . Katika kaunti ya Kwale, hakuna mahala pa matibabu kwa watoto hao. Mwandishi wetu Nicky Gitonga kutoka Kwale anaangazia changamoto za wazazi wa watoto wenye tawahudi .
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment