Chatu ahepa makao yake katika makavazi
Published on: September 20, 2017 08:15 (EAT)
Wakaaji wa Meru mjini walijawa na hofu baada ya nyoka aina ya chatu kutoroka kutoka makao yake katika makavazi ya Meru na kujificha ndani ya kibanda cha mmoja wao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment