Chebukati aitaka Mahakama ya Juu kutafsiri wajibu wake
Published on: October 05, 2017 08:39 (EAT)
Mwenyekti wa tume ya IEBC wafula Chebukati ameitaka mahakama ya juu kueleza wazi jukumu lake katika kusimamia uchaguzi wa urais na ikiwa anaweza kubadilisha matokeo kutoka maeneo bunge iwapo atapata yana makosa. Chebukati amewasilisha kesi hiyo mahakamani huku tume hiyo ikiwasimamisha kazi maafisa watano wa maeneo bunge katika hatua za kinidhamu dhidi ya wasimamizi wanaodhaniwa kuhujumu uchaguzi wa Agosti.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment