Chebukati aitaka Mahakama ya Juu kutafsiri wajibu wake

Mwenyekti wa tume ya IEBC wafula Chebukati ameitaka mahakama ya juu kueleza wazi jukumu lake katika kusimamia uchaguzi wa urais na ikiwa anaweza kubadilisha matokeo kutoka maeneo bunge iwapo atapata yana makosa. Chebukati amewasilisha kesi hiyo mahakamani huku tume hiyo ikiwasimamisha kazi maafisa watano wa maeneo bunge katika hatua za kinidhamu dhidi ya wasimamizi wanaodhaniwa kuhujumu uchaguzi wa Agosti.

Tags:

IEBC supreme court Wafula Chebukati REPEAT PRESIDENTIAL POLL

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories