Chebukati ataka Raila na Uhuru wazungumze

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Wafula Chebukati sasa anasema hawezi kuwahakikishia wananchi kuwa uchaguzi wa wiki ijayo utakuwa huru na wa haki iwapo hali iliyopo haitabadilika. Chebukati amelalamikia mgawanyiko baina ya makamishna kwa misingi ya kisiasa na kazi ya IEBC kuhujumiwa na serikai na upinzani. Hata hivyo, amesema kuwa hatojiuzulu na atajaribu awezavyo kufanya kazi yake akiongozwa na katiba na sheria. Kauli hiyo ya Chebukati inajiri baada ya kamishna Roselyn Akombe kujiuzulu.

Tags:

IEBC Wafula Chebukati

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories