Chifu Bitok husakata densi kabla ya kuhutubia hadhira
Published on: November 18, 2017 08:10 (EAT)
Chifu mmoja kutoka kaunti ya Uasin Gishu amewashangaza wengi jinsi anavyonengua maungo kama njia ya kuwavutia wakazi kwenye mikutano yake, tofauti kabisa na Viongozi wa serikali ambao mara nyingi wao huonekana watulivu na kufuata sheria ama wakati mwingine kutumia nguvu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment