Chiloba Anatosha
Published on: February 03, 2015 10:57 (EAT)
Ezra Chiloba Simiyu amechukua rasmi hatamu ya kuwa mkurugenzi mkuu wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC. Chiloba amekula kiapo hii leo mbele ya Jaji Mkuu Willy Mutunga na mwenyekiti wa tume hiyo Ahmed Isaack Hassan katika majengo ya mahakama ya juu zaidi nchini jijini Nairobi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment