Christabel Ouko afanyiwa ibada ya wafu CITAM Valley road
Published on: August 30, 2017 08:29 (EAT)
Jamaa na marafiki wa marehemu Christabel Ouko ambaye ni mkewe marehemu Robert Ouko walihudhuria ibada ya wafu iliyofanyika mapema hii leo katika kanisa la CITAM hapa jijini Nairobi. Mama Christabel Ouko alifariki terehe 21 mwezi huu kwenye ajali ya barabarani katika barabara kuu ya Kisumu kuelekea Kericho.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment