Chunguchungu wawakosesha usingizi wakazi wa Makueni

Kijiji kimoja kaunti ya Makueni kimevamiwa na wadudu kwa jina chungu. Sasa wanalazimika kuweka pamba kwenye masikio yao wakati wa kulala. Huu ni mwaka wa 15 tangu waanze kuvamiwa na wadudu hao ambao baadhi yao wanaamini kuwa si jambo la kawaida.

Tags:

Makueni chunguchungu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories