Chuo cha Nairobi chafungwa ghafla kwa muda usiojulikana
Published on: October 03, 2017 08:20 (EAT)
Chuo kikuu cha Nairobi kitasalia kufungwa kwa muda usiojulikana kutokana na sababu za kiusalama.
Hatua ya kufungwa kwa chuo hicho imechukuliwa kufuatia ghasia zilizozuka usiku wa kuamkia leo. Wanafunzi wameghadhabishwa na hatua hiyo na kumtaka naibu chansela Prof. Mbithi kujiuzulu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment