CORD: Matayarisho ya uchaguzi yasitishwe

Muungano wa upinzani-cord sasa unashinikiza kusitishwa kwa maandalizi yote ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, hadi makamishna wapya wa tume ya uchaguzi nchini iebc wateuliwe.
Cord inadai makamishna wanaoondoka, wakishirikiana na maafisa wakuu wa tume hiyo â wamefanya njama na chama cha jubilee kuhujumu mitambo na taratibu za uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, ili kushawishi matokeo, haswa ya urais. Lakini kama anavyoarifu Francis Gachuri, iebc inasisitiza kwamba madai ya cord ni uvumi mtupu.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories