Daktari anataka ukeketaji uruhusiwe

Je, mwanamke aliyekomaa anaweza kupatiwa fursa ya kujiamulia iwapo angetaka kufanyiwa ukeketaji au la? Na je, sheria inayoharamisha ukeketaji inastahili kubatilishwa? Ndio masuali yanayomkabili Jaji David Kemei anaposikiza kesi inayotaka sheria hiyo kubatilishwa. Daktari Tatu Kamau ambaye amewasilisha kesi hiyo anataka wanawake ambao ni watu wazima kupewa nafasi ya kujiamulia wanachotaka kufanya na mwili wao.

Tags:

FGM female genital mutilation ukeketaji

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories