Daktari anayetoa huduma za tohara mashakani
Published on: July 05, 2017 07:58 (EAT)
Familia moja katika mtaa wa Mathare hapa jijini Nairobi inasikitikia kisa ambapo mtoto wao, mvulana wa miaka minane aliyepashwa tohara aliachwa na majeraha mabaya. Citizen Nipashe imebaini kwamba daktari aliyetekeleza tohara hiyo hakuifanya kwa njia inayofaa na hivyo kumuacha kijana huyo na majeraha mabaya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment