Dawa mpya ya kuzuia maambukizi ya UKIMWI yazinduliwa
Published on: May 04, 2017 08:58 (EAT)
Serikali imezindua dawa itakayoweza kutumika na mtu yeyote aliyeko hatarini kuweza kuambukizika virusi vya HIV ili kujikinga na maradhi hayo pamoja na kifaa cha kupima endapo mtu ana virusi hivyo au la. Dawa hiyo inatarajiwa kupunguza maambukizi kwa kiwango kikubwa kwa watu amabo hawana viruzi hivyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment