Dereva, makondakta 2 wahukumiwa kifo kwa wizi wa mabavu

Jamaa watatu wamehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya kumnyanyasa kimapenzi msichana mmoja akiwa ndani ya matatu, kisa hiki kilifanyika miaka mitatu iliopita.
Aidha ni kisa ambacho kilizua mjadala mitandaoni baada ya video kusambaa ikionyesha kudhalilishwa kwa mwanamke huyo.

Tags:

matatu Githurai Githurai 45 My dress my choice Makondakta

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories