Dereva, makondakta 2 wahukumiwa kifo kwa wizi wa mabavu
Published on: July 19, 2017 08:07 (EAT)
Jamaa watatu wamehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya kumnyanyasa kimapenzi msichana mmoja akiwa ndani ya matatu, kisa hiki kilifanyika miaka mitatu iliopita.
Aidha ni kisa ambacho kilizua mjadala mitandaoni baada ya video kusambaa ikionyesha kudhalilishwa kwa mwanamke huyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment