EACC yafanya msako mkali kwa gavana wa zamani
Published on: January 11, 2018 08:09 (EAT)
Hali ya mshike mshike ilitanda nyumbani kwa aliyekuwa gavana wa Tharaka Nithi Samuel Ragwa baada ya maafisa wa tume ya kupigana na ufisadi ya EACC kufumania majumba mawili kwa tuhuma za ufisadi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment