EACC yanasa gari la kaunti ya Garissa lililokuwa limeibwa

Maafisa wa tume ya kupambana na ufisadi EACC hii leo wamenasa gari lenye thamani ya shilingi milioni tisa unusu linalosemekana kuibwa kutoka katika serikali ya kaunti ya Garissa.
Kwa mujibu wa maafisa hao gari hilo ambalo limekuwa likizuiliwa katika karakana moja mjini Mombasa lilikuwa miongoni mwa magari 27 yaliyonunuliwa miaka miwili iliyopita ila halikuwasilishwa Garissa kama iliyostahili. Haya yanajiri huku mashirika kadhaa yasiyokuwa ya kiserikali yakipaza sauti zao dhidi ya matumizi mabaya ya pesa za umma kwenye serikali za kaunti.

Tags:

EACC corruption in counties

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories