Eneo lenye mazao mengi licha ya ukame, Mandera
Published on: October 22, 2016 10:25 (EAT)
Wakaazi wengi katika kaunti ya Mandera na kaskazini mashariki mwa nchi wanafahamika sana kwa ufugaji ambao ndio raslimali yao kubwa. Hata hivyo, mara nyingi mifugo wao huangamia kutokana na ukame. Lakini kuna wale ambao wamebadili taswira hiyo kwa kufanya kazi ya ukulima na kuweza kupata manufaa makubwa kama anavyorifu mwanahabari wetu Nasteha Mohammed.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment