Familia ya Nyenze na Mwendwa zapigania tiketi ya Wiper Kitui

Kura ya mchujo inayolenga kupata mwaniaji wa chama cha Wiper kwenye uchaguzi wa eneo bunge la Kitui Magharibi ilifanyika hii leo. Maluki Kitili na Edith Nyenze, ambaye ni mjane wa aliyekuwa mbungu wa eneo hilo marehemu Francis Nyenze, wanapigania nafasi hiyo kwa chama cha Wiper. Haya yanajiri huku mahakama ya juu leo hii ikitupilia mbali kesi iliyonuia kupinga uchaguzi wa TJ Kajwang’ kama mbunge wa enero la Ruaraka kaunti ya Nairobi.

Tags:

WIPER Francis Nyenze Kityi West Maluki Kitili Nyiva mwendwa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories