Familia ya watoto waliouwawa yaongea

Mauaji ya watoto watatu  waliouawa katika eneo la kaspoya kaunti ya uasin gishu yamewaacha wengi vinywa wazi huku mshukiwa mkuu ambaye ni mjomba wao akitarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho.  Mama yao amesalia na kilio cha haki itendeke huku familia yake ikijiuliza ni kipi walichokosea watoto hao kupitia udhalimu wa aina hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories