Familia yalilia haki baada ya mtoto wao kunajisiwa

Familia moja katika kijiji cha Maiyuni huko Mwingi inalilia haki ya mtoto wao aliyenajisiwa tarehe 21 mwezi November. Inadaiwa kuwa aliyetekeleza kitendo hicho hajachukuliwa hatua licha ya kwamba familia hiyo ilipiga ripoti katika vituo vya polisi vya Mwingi na Nguutani. Na kinachoitia kiwewe familia hii ni ripoti kinzani kutoka hospitali ya mwingi level 4 na ile ya Nairobi womens. Moja ikionesha kuwa alinajisiwa huku nyingine ikionesha kuwa hakunajisiwa.

Tags:

rape mwingi nairobi womens

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories