Familia za wanajeshi wa KDF zaendelea kuomboleza
Published on: February 04, 2017 08:40 (EAT)
Familia za wanajeshi wa KDF waliyopoteza maisha huko Kulbiyow zinaendelea kuzika jamaa zao. Katika mazishi ya waathiriwa wawili, moja katika kaunti ya Baringo na nyingine katika kaunti ya Meru, waombolezaji walitoa wito kwa serikali kufikiria upya kuwepo kwa wanajeshi wa KDF huko Somalia.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment