Fisi amla mtoto wa miezi mitatu Garissa
Published on: January 11, 2018 08:03 (EAT)
Kijiji cha Raya, katika eneo bunge la Garissa kiliamkia mshangao na majonzi baada ya kupata fisi amemtafuna na kumuua Mtoto wa miaka mitatu. Na hapa jijini wafanyibiahara eneo la Yaya Centre wanalalamikia kuharibiwa kwa biashara zao baada ya maafisa wa kaunti kuwavunjia vibanda vyao mapema leo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment