Francis Gachuri na Jane Gatwiri wa NTV washambuliwa
Published on: October 31, 2017 08:18 (EAT)
Mwanahabari wa runinga ya Citizen Francis Gachuri na mpiga picha wa runinga ya NTV Jane Gatwiri wamedhulumiwa na watu wasiojulikana katika makao makuu ya chama cha Wiper hapa jijini, Nairobi. Kinara wa NASA Raila Odinga hata hivyo ameomba msamaha kutokana na tukio hilo akisema kuwa swala hilo lilikuwa la kuvunja moyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment