Francis Gachuri na Jane Gatwiri wa NTV washambuliwa

Mwanahabari wa runinga ya Citizen Francis Gachuri na mpiga picha wa runinga ya NTV Jane Gatwiri wamedhulumiwa na watu wasiojulikana katika makao makuu ya chama cha Wiper hapa jijini, Nairobi. Kinara wa NASA Raila Odinga hata hivyo ameomba msamaha kutokana na tukio hilo akisema kuwa swala hilo lilikuwa la kuvunja moyo.

Tags:

raila odinga Joe Mucheru Citizen TV Editors Guild Francis Gachuri NASA NTV Jane Gatwiri Jane Ngoiri

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories