Francis Nyenze azikwa nyumbani kwake eneo la Kabati, kitui
Published on: December 19, 2017 08:21 (EAT)
Hatimaye mwili ya mwenda zake aliyekuwa mbunge wa Kitui Magharibi Francis Nyenze umezikwa nyumbani kwake kaunti ya kitui. Kinara wa NASA Raila Odinga na spika wa bunge Justin Muturi ni miongoni mwa maelfu waliohudhuria mazishi hayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment