Fred Matiangi ni miongoni mwa mawaziri 6 waliosazwa
Published on: January 05, 2018 07:54 (EAT)
Katika shoka la Rais Kenyatta, amewasaza mawaziri sita akiwemo Fred Matiang’i wa elimu na kuwateuwa aliyekuwa mkurugenzi wa mashataka ya umma Keriako Tobiko, aliyekuwa seneta wa Turkana John Munyes na aliyekuwa gavana wa Marsabit ukur Yattani katika baraza la mawaziri.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment