Fujo za ujio wa Odinga zaacha wanabiashara wakadiria hasara Nairobi
Published on: November 18, 2017 08:18 (EAT)
Huku wengine wakifurahia ujio wa kinara wa NASA Raila Odinga hapo jana, wahalifu walipata mwanya wa kutekeleza ujambazi kwenye baadhi ya biashara katika barabara ya Jogoo hapa jijini. Kadzo Gunga alipata fursa ya kuzungumza na baadhi ya wafanyibiashara katika eneo hilo na kutuandalia taarifa ya ifuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment