Fujo za ujio wa Odinga zaacha wanabiashara wakadiria hasara Nairobi

Huku wengine wakifurahia ujio wa kinara wa NASA Raila Odinga hapo jana, wahalifu walipata mwanya wa kutekeleza ujambazi kwenye baadhi ya biashara katika barabara ya Jogoo hapa jijini. Kadzo Gunga alipata fursa ya kuzungumza na baadhi ya wafanyibiashara katika eneo hilo na kutuandalia taarifa ya ifuatayo.

Tags:

raila odinga Nairobi NASA Jogoo Road

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories