Fundi wa viatu arejea shuleni baada ya miaka 17
Published on: January 01, 2018 08:42 (EAT)
Kuna baadhi ya watu ambao hufikiria elimu ni ya watu wachanga pekee. Lakini anthony njuguna muniu, mwanaume mwenye umri wa miaka 40, alirudi shuleni baada kukaa nje ya darasa kwa miaka 17, na hatimaye kufuzu na shahada ya masuala ya fedha na uchumi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment