Fuo za Bahari, Zapata umaarufu, Diani
Published on: October 01, 2016 09:29 (EAT)
Fuo za bahari za Diani kwa miaka miwili mfululizo zimechaguliwa kama fuo bora zaidi barani Africa na mashirika ya World travel Awards na Travellers Choice Awards pamoja na mihakawa miwili ya kifahari katika eneo la Diani kupandishwa hadhi ya kuwa na nyota 5 na kama anavyotueleza mwanahabari wetu Nicky Gitonga tuzo hizo zinaonekana kuongeza idadi ya watalii kutoka mataifa ya kigeni wanaozuru kusini mwa pwani kutoka asilimia 15 mwaka 2013 hadi 45 mwaka 2016.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment