Gavana Nyong’o aamuru mikutano ya mikahawani isitishwe Kisumu

Gavana wa Kisumu Prof Anyang Nyong’o sasa ametoa tahadhari kwa wamiliki wa mikahawa katika kaunti ya Kisumu kuchunguza mikutano inayofanywa mikahawani mwao kufuatia rabsha zilizozuka katika mkahawa wa Jumuia mapema wiki hii.

Tags:

Anyang Nyongo Jumuia hotel Kisumu seminars

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories