Gavana Nyong’o aamuru mikutano ya mikahawani isitishwe Kisumu
Published on: September 16, 2017 10:17 (EAT)
Gavana wa Kisumu Prof Anyang Nyong’o sasa ametoa tahadhari kwa wamiliki wa mikahawa katika kaunti ya Kisumu kuchunguza mikutano inayofanywa mikahawani mwao kufuatia rabsha zilizozuka katika mkahawa wa Jumuia mapema wiki hii.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment