Gavana wa Elgeyo Marakwet huishi ugenini Uasin Gishu

Gavana wa kaunti ya Elgeyo Marakwet Alex Tolgos kwa miaka mitano iliyopita hajakuwa na makao katika kaunti yake huku akiendea kuishi katika kaunti jirani ya Uasin Gishu licha ya kuwa yeye hupokea shilingi elfu themanini kila mwezi za kumlipia kodi ya nyumba. Kwa nini gavana huyu asiishi katika kaunti yake hata katika nyumba ya kukodisha?

Tags:

Uasin Gishu eldoret Elgeyo Marakwet Alex Tolgos

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories