Gavana wa Tharaka Nithi awaonya wafanyakazi hewa
Published on: December 06, 2017 08:09 (EAT)
Siku moja baada ya tume ya mishahara SRC kukunja jamvi kwa kuzishutumu serikali za kaunti kuwa hutumia pesa nyingi kulipa mishahara, gavana wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki ameeleza kuwa serikali ya kaunti hiyo imeweka mikakati ya kupunguza mzigo huo. Njuki ameahidi kupambana na wafanyakazi hewa pamoja na wale ambao hupokea tu mishahara licha ya kukwepa majukumu yao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment