Gavana wa Tharaka Nithi awaonya wafanyakazi hewa

Siku moja baada ya tume ya mishahara SRC kukunja jamvi kwa kuzishutumu serikali za kaunti kuwa hutumia pesa nyingi kulipa mishahara, gavana wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki ameeleza kuwa serikali ya kaunti hiyo imeweka mikakati ya kupunguza mzigo huo. Njuki ameahidi kupambana na wafanyakazi hewa pamoja na wale ambao hupokea tu mishahara licha ya kukwepa majukumu yao.

Tags:

Muthomi Njuki Tharaka Nithi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories