Gavana wa Tharaka Nithi awaonya wafanyakazi hewa
Published on: December 06, 2017 08:09 (EAT)
Siku moja baada ya tume ya mishahara SRC kukunja jamvi kwa kuzishutumu serikali za kaunti kuwa hutumia pesa nyingi kulipa mishahara, gavana wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki ameeleza kuwa serikali ya kaunti hiyo imeweka mikakati ya kupunguza mzigo huo. Njuki ameahidi kupambana na wafanyakazi hewa pamoja na wale ambao hupokea tu mishahara licha ya kukwepa majukumu yao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment