Gavana wa Turkana Josphat Nanok achaguliwa Mwenyekiti

Gavana wa Turkana Josphat Nanok ndiye mwenyekiti mpya wa baraza la magavana, anayechukua hatamu baada ya Peter Munya wa Meru ambaye muhula wake wa miaka miwili umekamilika hii leo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories