Genge lamjeruhi Mwanamke kwa kumshuku kuwa mchawi, Igembe ya Kati
Published on: August 27, 2016 10:06 (EAT)
Mwanamke mwenye umri wa miaka 24 anayeshukiwa kuwa mshirikina anaugua majeraha makali baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake na sasa amelzwa katika chumba cha wagonjwa walio katika hali mahututi hospitali ya methodist ilioko kaunti ndogo ya igembe ya kati .mwanamke huyo alikatwa mkono wake wa kushoto pamoja. Mwanamke huyo anauguza majeraha mengine kichwani na sehemu zake za siri. Lulu Hassan anaripoti hii kwa kina
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment