Ghadhabu za ajuza, mwanafunzi wa darasa la 8, kwa kutofanyika sherehe za Mashujaa Kisumu

Katika eneo la Nyakach kaunti ya Kisumu ajuza mmoja alionyesha kutofurahishwa na hali ya kutofanyika kwa sherehe za mashujaa eneo hilo. Christine Auma, mwanafunzi wa darasa la nane ana umri wa miaka sitini na minne. Na kama anavyotueleza Laura Otieno, ajuza huyu alitamani kuhudhuria sherehe za mashujaa ili kuonyesha weledi wake katika lugha za Kiswahili na Kiingereza.

Tags:

Mashujaa day kisumu Nyakach christine auma

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories