Ghadhabu za ajuza, mwanafunzi wa darasa la 8, kwa kutofanyika sherehe za Mashujaa Kisumu
Published on: October 20, 2017 08:58 (EAT)
Katika eneo la Nyakach kaunti ya Kisumu ajuza mmoja alionyesha kutofurahishwa na hali ya kutofanyika kwa sherehe za mashujaa eneo hilo. Christine Auma, mwanafunzi wa darasa la nane ana umri wa miaka sitini na minne. Na kama anavyotueleza Laura Otieno, ajuza huyu alitamani kuhudhuria sherehe za mashujaa ili kuonyesha weledi wake katika lugha za Kiswahili na Kiingereza.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment