Gharama Ya Juu Ya Maisha Kuathiri Sherehe

Je msimu wa sherehe za Krismasi umekuwa wa gharama zaidi kwa Wakenya? Hayo ndio matokeo ya utafiti wa kura ya maoni yaliyoendeshwa na kampuni ya Synovate yanayoonyesha kwamba asilimia 56 ya Wakenya watatumia fedha zaidi kuliko mwaka ulio pita. Kando na hayo, tofauti na mwaka 2013 ambapo asilimia 40 ya Wakenya walifunga safari, mwaka huu ni asilimia 16 tu wanaopanga kufunga safari…

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories