Ghasia na uporaji zagubika maandamano ya NASA
Published on: October 11, 2017 08:05 (EAT)
Muungano wa NASA uliendelea na msusururu wake wa maandamano katika sehemu tofauti humu nchini. Hapa jijini maandamano hayo yalihusisha mkwaruzano kati ya wafuasi wa NASA na baadhi ya wafanyibiashara huku watu watano wakiripotiwa kupata majerehea ya risasi mjini Kisumu. Maandamano hayo yataandaliwa kila siku kwanzia wiki kesho.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment