Ghasia zafunika maandamano ya NASA dhidi ya IEBC
Published on: September 26, 2017 07:54 (EAT)
Wafuasi wa muungano wa upinzani wa Nasa wameandamana leo hapa Nairobi na katika miji ya Kisumu na Mombasa wakitaka kujiuzulu baadhi ya maafisa wa IEBC akiwemo Ezra Chiloba. Hapa Nairobi maandamano hayo yaligubikwa na fujo huku polisi wakitumia vitoa machozi kuwatawanya waandamanaji.
Nusra vita vizuke baada ya wafuasi wa Jubilee pia kujitokeza katika makao makuu ya IEBC.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment