Ghasia zakumba uchaguzi wa viongozi wa Jubilee
Published on: December 15, 2016 09:35 (EAT)
Chaguzi za viongozi wa muda wa chama cha Jubilee mashinani zinadidi kuibua mtafaruku, huku wapinzani wakizomeana na hata kwingine kulimana makonde. Zogo kuu likiwa ni madai ya kuingiliwa kwa zoezi hilo, huku wabunge na waakilishi wa kaunti wakimenyana na wagombeaji mbali mbali wanaozimezea mate nyadhifa zao. Suala kuu likiwa ni jaribio la kudhibiti zoezi la chaguzi za mchujo mwakani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment