Ghasia zashuhudiwa kwenye uchaguzi mdogo, Kisii
Published on: October 26, 2016 09:57 (EAT)
Kulikuwa na sarakasi katika uchaguzi mdogo wa wadi ya Nyacheka katika kaunti ya Kisii pale mbunge wa Kitutu Chache Kusini Richard Onyonka alipofurushwa na baadhi ya wafuasi wa muwaniaji kiti cha mwakilishi wa wadi kudai kwamba alikuwa akiwahonga wapiga kura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment