Hali ya wasiwasi yazidi kutanda Baringo
Published on: December 28, 2016 08:07 (EAT)
Mapigano kati ya jamiim za wapokot na wanandi yakiendelea barabara muhimu inayounganisha sehemu muhimu ikifungwa na genge la majambazi hao. .hali ya taharuki inazidi kutanda katika eneo la mukutani kusini mwa Baringo baada ya
Barabara ya Loruk ambayo ni kitovu cha maeneo bunge ya Tiaty na baringo ya kusini imefgungwa na maharamia hao hivyo kumaanisha iwapo kutakuwa na dharura yoyote, polisi hawataweza kuwafikia raia kwa muda unaofaa. Anne Mawathe na maelezo zaidi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment