Harusi ya kitamaduni ya Wamaasai
Published on: December 30, 2017 09:02 (EAT)
Kadri muda unavyoendelea kusonga, ndivyo mila na desturi za Wafrika zinavyoendelea kudidimia. Lakini jamii ya wamaasai ni moja kati ya jamii chache ambazo bado zimeshikilia utamaduni wao. Mwandishi wetu Martin Munene alihudhuria harusi ya kimaasai na kutuandalia taarifa ifuatayo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment