Hasira zajaa mitandaoni kuhusiana na tuhuma za ubakaji KNH
Published on: January 19, 2018 08:33 (EAT)
Tuhuma za ubakaji ndani ya hospitali kuu ya Kenyatta zimegonga vichwa vya habari hii leo, si humu nchini pekee bali pia kimataifa, hata hivyo, wasimamizi wa hospitali hiyo ya rufaa wamekanusha madai hayo swala lililokinzana na waziri wa afya aliyeamrisha uchunguzi na kuwasilishwa kwa ripoti siku ya jumatatu kuhusiana na madai hayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment