Hasira zajaa mitandaoni kuhusiana na tuhuma za ubakaji KNH

Tuhuma za ubakaji ndani ya hospitali kuu ya Kenyatta zimegonga vichwa vya habari hii leo, si humu nchini pekee bali pia kimataifa, hata hivyo, wasimamizi wa hospitali hiyo ya rufaa wamekanusha madai hayo swala lililokinzana na waziri wa afya aliyeamrisha uchunguzi na kuwasilishwa kwa ripoti siku ya jumatatu kuhusiana na madai hayo.

Tags:

KNH Lily Koros Kenyatta National Hospital rape allegations

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories