Hatimaye magavana kupokea mgao wa fedha za kaunti
Published on: November 09, 2017 09:15 (EAT)
Hatimaye kaunti zitapokea mgao wa fedha baada ya bunge la seneti kujadili mswada uliowasilishwa kutoka kwa wizara ya fedha utakaowezesha wizara hiyo kufanya mgao kwa kila kaunti. Kiongozi wa wengi katika bunge Hilo Kipchumba Murkomen amesema kuwa kaunti sasa zinapaswa kuwajibika katika utumizi wa fedha hizo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment