Hatimaye Sonko apata cheti cha polisi

Hatimaye seneta wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha stakabadhi za kujitosa kwenye kinyang’anyiro cha ugavana kaunti ya Nairobi kwa tiketi ya Jubilee, licha ya kukumbwa na hali ya ati ati hapo jana. Sonko alipata cheti cha nidhamu jana usiku, baada ya uongozi wa juu wa Jubilee kuingilia kati, huku ikidaiwa maafisa wenye ushawishi serikalini walikuwa na njama ya kumfungia nje ya uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti.

Tags:

Mike Sonko JUBILEE Nirobi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories