Hatua za mwisho za marehemu Nkaissery
Published on: July 08, 2017 08:24 (EAT)
Kabla ya kifo chake, Jenerali Joseph Nkaissery, hapo jana alifanya shughuli zake kama kawaida yake hapo jana. Siku kutwa alionekana mchangafu na hakuna lolote liloonekana kwenda kinyume na mwenendo wake. Faizah Maganga anarejelea dakika za mwisho za Nkaiserry.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment