Hazina ya NSSF yadaiwa kuporwa Ksh. 72M

Donda la ufisadi linaonekana kuendelea kuvuja zaidi huku tume ya maadili na kupambana na ufisadi sasa ikichunguza sakata ya shilingi milioni sabini na mbili zinazowahusisha maafisa wakuu katika hazina ya kustaafu.

Haya yanajiri huku msako wa kuwatafuta aden harakhe ambaye alikuwa naibu mkurugenzi mkuu wa nys na Hassan Noor aliyesimamia kamati ya zabuni katika wizara ya ugatuzi ukiendelea.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories