Hekaheka za kisiasa

Chama cha jubilee kimetetea uamuzi wake wa kuiomba tume ya uchaguzi nchini-iebc kusimamia chaguzi zake za mchujo.

Naibu wa Rais William Ruto amesisitiza tume ya iebc ina jukumu la kikatiba kusimamia teuzi za chama, ili ziwe huru na haki.

Hata hivyo, muungano wa upinzani umeitahadharisha iebc dhidi ya kutumia fedha za umma kusimamia teuzi za chama kimoja cha kisiasa.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories